Zuchu – Mwambieni Lyrics

 

Mwambieni Lyrics by Zuchu

 

Mhhh mh mh
Mhhh mh mhhh
Mhh mh mh
Mhh
Eeeeeh kaja omba nirudia
Kazirejesha salam
Zamani kakumbukiaa
Ameumisi utamu
Kaacha kopa kalamba garasa, kaishiwa masikini
Mpeni taarifa za beti mkwasa mi simkumbuki sini

Heee mwambieni mwambieni
Mali yake ishaliwa
Ahaa apunguze kampeni
Jimbo lishachukuliwa
Hehee! mwambieni mwambieni
Mali yake ishaliwa
Aha apunguze kampeni
Jimbo lishachukuliwa

Weeh! kabaki mbe (Mbe arijojo mbembe)
Hatarii mbe arijojo mbe
Kaambulia patupuu (Mbe arijojo mbembe)
Yuko chalichali mbe arijojo mbe
Mbe mbe mbe

Alidhani ameniadhiri
Alidhani amenikomoa
Mungu akanipa msitiri
Alonipoza nikapoa
Aah! penzi kalijaza ndindindi
Kanimwagia mwemweremwemwere
Pole ya kwako kidingi
Wa kudandia ngenderengedere
Simu za usiku wa saa sita (Aka staki)
Kuni dm insta (Aka staki)
Kutwa kujikomentisha (Aka staki)
Kujitumisha vipicha (Aka staki)

Hee mwambieni mwambieni
Mali yake ishaliwa
Aha apunguze kampeni
Jimbo lishachukuliwa
Hehee mwambieni mwambieni
Mali yake ishaliwa
Aha apunguze kampeni
Jimbo lishachukuliwa

Weeh! kabaki mbe
Mbe arijojo mbembe hatarii
Mbe arijojo mbe
Kaambulia patupuu (Mbe arijojo mbembe)
Yuko chalichali mbe arijojo mbe
Hee kabaki mbeee (Mbe arijojo mbembe)
Si wa mbele wala nyuma (Mbe arijojo mbe)
Si wa kuvutwa sukuma (Mbe arijojo mbembe)
Inakuuma eeeeh (Mbe arijojo mbe)

Twende kirinkikiti-kirinkikiti-kirinkikiti
Kikiti kikiti
Kirinkikiti-kirinkikiti-kirinkikiti
Kikiti-kikiti
Twende bah
Skoroba bah yani bah
Yani bah skoroba bah
Yani bah aweeh
Hahaaaaa
(Kamixlizer)