Zabron Singers – Nakutuma Wimbo Lyrics

Zabron Singers Nakutuma Wimbo Lyrics

Zabron Singers – Nakutuma Wimbo Lyrics

Nakutuma Wimbo Lyrics by Zabron Singers

Natamani nitoe shuhuda
Kupitia wimbo nimtetee Mungu
Matiafa wapate sikia
Mazuri ya Mungu vile ni mwema kwetu

Sisi ni bure bila Mungu
Tulivyo navyo ni vya Mungu
Kufanikiwa ni Mungu tu
Nitabaki na Mungu

Nadhani wamwelewa Mungu
Si Mungu wa kushindwa
Kwa wengi amefanya  kitu
Na sasa wanasifu

Asante kwa baraka za upendo wako
Najifunza wabariki wapate na wengine
Asante kwa baraka ya maisha yangu
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki  (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki  (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Ufike, hee hee hee
Ufike, hee hee hee
Ufike, hee hee hee

Wimbo sema na yule
Wewe rafiki wa wote
Huna ubaguzi nenda wimbo
Kwenye gari waambie, ofisini kazini
Nyumbani popote wimbo nenda wimbo

Neno la  Bwana Mungu wetu
Likitamka juu ya kitu
Halitarudi bila kitu
Lazima litimie

Umeomba kitu kwa Mungu
Huyu ndiye Mungu wa vitu
Kupata na kukosa vitu
Mwamuzi bado yeye

Asante kwa baraka za upendo wako
Najifunza wabariki wapate na wengine
Asante kwa baraka ya maisha yangu
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki  (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki  (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Wengine wakisikia wimbo wanapona
Waambie mazuri ya Mungu wimbo wimbo
Wengine  tu wakisikia wimbo wanapona
Waambie mazuri ya Mungu wimbo wimbo (Hee hee heee)

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki  (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki  (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Nakutuma wimbo, uende kwa yule
Ukambariki (Nenda)
Makuu ya Mungu vile huinua
Vile hubariki (Nenda)
Nyumbani kazini uende na Mungu
Usishindwe kitu (Nenda)

Written by; Zabron Singers
Released date; 18 January, 2021

Zabron Singers Nakutuma Wimbo Lyrics