Baba Levo – Tena Lyrics

Baba Levo Tena Lyrics

Baba Levo – Tena Lyrics

Baba Levo Tena Lyrics

Take 5 now, take 5 now…
Mungu mwenye baraka
Nakushukuru kwa hizi fanaka
Naimba ninapotaka
Fungua njia nifunge mipaka
Nyota izidi kuwaka
Nipate nitoe sadaka
Waoneshe binadamu bila we ni taka taka

Niliwapa high and low wakasema nimeongea
Eeeh wengine kajifariji lege ikawaonea
Baba levo kalikamata jiji sasa wanaongea
We kubali tuko level fiti ngoma inapepea

Hehe mi ni mtatanishi ndio maana nawatatiza
Wanashangaa kilema anawkimbiza
Hawanitakii ila nishang’ang aniza
Na siwaachi nazidi kukandamiza

Ati metjali wamekubali kwnza mi ni soo
Nitafika mbali nizidishe floor
Hawa wanati tea wanajiona kwa chop
Samata Sanata nawafunga goal goal

Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai

Walichokosa mizuka nimechafukwa na kina luja
Hata mvua inyeshe wameyatimba vumbi taruka
Wajanja wanasanuka, washamna kinashuka
Na hii haina kufeli songa karibu nikupe ukweli

Nishapiga makina ngoma mamidundiko mpaka singeli
Ila mambo ndo yamegoma hao wadau ni matapeli
Wanaopewagwa nafasi kijiwe nongwa tu hamna teli
Tunaojuaga nafasi sio sio madarasa ni matapeli

Kigoma mwisho wa reli
Nikiite kifala mtafeli
Asante kwa mashabiki wanaonipa kila la kheri
Pole kwa wanafiki wanaosifu kwa kukejeli
Muda ndo umefika tutapambana pah pah pah

Leo natangaza vita mi ndio kidume nani mwingine?
Wekeni vikwazo nitapita mi ndio kidume nani mwingine?
Hamwezi kuniongopea siiishi kwa mazoea
Nataka nipewe darasa la kuwafunza na kuwakemea
Watu niwape hamasa za kuwafunza na kuwazomea
Kisha nifanye siasa mwenye kuimba nikigombea

Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini? hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai
Nataka tena hai, nataka nini hai hai